Kidato cha Kwanza hadi cha Nne
Kuanzishwa na Mahali Ilipo
Shule ya sekondari Maghabe inatoa elimu ya kidato cha kwanza hadi cha nne mwaka 2006. Shule ipo umbali wa kilomita 05 kutoka stendi ya Mbalizi na kilomita 17 kutoka stendi kuu ya mabasi Mbeya mjini.
Masomo Yanayofundihwa
Masomo yanafundishwa kwa kidato cha kwanza hadi cha nne ni:
iv.
Elimu ya viumbe (Biolojia)
Vidato vya Wanafunzi
Wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne wanasajiliwa na shule ya Maghabe kwa kujiunga kidato cha kwanza au kwa kuhamia kutoka shule nyingine, kwa baadhi ya madarasa kulingana na hali halisi ya wakati husika.